BBC News, Swahili - Habari
Habari Kuu
'Sina ujasiri alio nao Lissu': Mke wa Lissu aelezea gharama ya mapambano ya kisiasa ya Tanzania kwa familia
Alicia Lissu, mke wa kiongozi wa upinzani nchini Tanzania Tundu Lissu, anazungumzia athari za kihisia, kifedha, na binafsi zinazotokana na harakati za kisiasa za mumewe, kesi ya uhaini, na kukamatwa kwake mara kwa mara.
Moja kwa moja, Iran yashambulia mataifa ya Ghuba huku Marekani ikidai imekamilisha mashambulizi mapya
Haya yanajiri baada ya Iran kuonya mataifa ya Ghuba yatakayosaidia uchokozi wa kijeshi dhidi yake yatakuwa shabaha halali za mashambulizi.
Mama mkatili: "Alinilazimisha kuishi kama mgonjwa kwa miaka mingi"
Mama yake alikuwa karibu naye kila wakati, na kila alipomwona Nina akitabasamu, alikasirika na kumwadhibu.
Kwa nini makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Iran na Marekani yamevunjika?
Washington na Tehran zinaonekana kuelekea kwenye vita tena, huku pande zote mbili zikikataa kuacha ubabe.
Tetesi za soka Ulaya Jumatatu: Arsenal inamuwania Álvarez wa Argentina
Arsenal wanataka kumsajili mshambuliaji wa Atletico Madrid, Julián Álvarez, Aston Villa imeiteka Newcastle United katika mbio za kumsajili Johan Manzambi, huku Pep Guardiola akitajwa kuwa miongoni mwa makocha wanaowania kuteuliwa kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya Italia.
ODM haitasimamisha mgombea urais katika uchaguzi wa Kenya wa 2027
Hata hivyo, kauli hiyo huenda ikaibua mjadala wa kisiasa ndani na nje ya ODM, hasa ikizingatiwa kuwa chama hicho kwa muda mrefu kimekuwa kikisimamisha mgombea wake au kumuunga mkono mgombea wa upinzani katika chaguzi za urais nchini Kenya.
'Mlo ulioniacha na vimelea 38 kwenye ubongo'
Lowri ni mmoja wa watu wachache nchini Uingereza wanaogunduliwa kila mwaka kuwa na maambukizi ya ubongo, yanayosababishwa na mabuu ya minyoo ya nguruwe.
Raia wa Marekani agundulika na Ebola baada ya kurejea kutoka DRC
Kisa hicho kimezua tena taharuki na kuongeza umakini kuhusu mapambano ya Congo dhidi ya moja ya magonjwa hatari zaidi ya virusi duniani.
Marekani yasema Mlango Bahari wa Hormuz uko wazi huku ikiendelea kushambuliana na Iran
Mapigano, ambayo yalichacha tena wiki hii, yaliendelea siku ya Jumamosi baada ya Marekani kusema kuwa ilishambulia zaidi ya maeneo 140 nchini Iran.
Mikutano mitano mikubwa zaidi ya kidini duniani
Miongoni mwa mikusanyiko ya hivi karibuni iliyovutia idadi kubwa ya watu ni mazishi ya aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa Iran, Ali Khamenei. Kwa mujibu wa mamlaka za Iran, takribani watu milioni 43 walihudhuria shughuli za mazishi hayo.
“Sijafurahishwa na Mchezo Wetu – Kwa Kila Kitu” - Kocha wa England
Tuchel amesema Three Lions walicheza kwa uzembe, na ushindi wao umepatikana kibahati tu.
Zuchu atangaza ‘kuvunjika kwa penzi lake na Diamond’
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Zuchu ametoa ujumbe mzito akieleza kuwa ameamua kuchukua hatua hiyo bila kinyongo.
Kombe la Dunia 2026 - Mechi na Matokeo
Pata matokeo, ratiba za mechi, magoli na wafungaji mubashara wa Kombe la Dunia 2026 sehemu moja.
Unataka kupunguza gharama za data?
Soma mtandao wetu wa maandishi kwa gharama ndogo za data.
Gumzo mitandaoni
Maandamano Saba saba: 10 wakamatwa Nairobi huku Tanzania kukiwa kimya
Hali ya ulinzi imeonekana kuimarishwa zaidi katika jiji kuu la kibiashara la Tanzania Dar es Salaam, huku mamia ya maafisa polisi na jeshi wakionekana kutanda katika maeneo mbalimbali ya jiji hilo.
Njia 4 nadra ambazo mwanamke anaweza kupata ujauzito
Isipokuwa iwapo umeruka darasa la elimu ya ngono, labda una ufahamu wa kimsingi jinsi watoto wanavyoumbwa.
Vyuo 10 bora zaidi barani Afrika 2026
Vyuo vikuu barani Afrika vinazidi kutambulika katika jukwaa la kimataifa, kwa kuchochewa na matokeo yenye nguvu ya utafiti, ushirikiano wa kimataifa, na ushawishi unaokua wa kitaaluma.
Nini huzuia wanawake wengi kutofika kileleni?
Sababu nyingine inayochochea wanawake kutofika kileleni wanapokuwa na wenzi wao ni ugumu wa kuzungumza na uwazi kuhusu wanachokipenda wakati wanashiriki ngono.
Zijue nchi 10 wauzaji wakubwa wa silaha duniani
Huku mivutano ya kijiografia ikiongeza duniani na kusababisha vita na migogoro, mahitaji ya vifaa vya kijeshi, kupitia biashara ya silaha, yanazidi kuongezeka katika ulimwengu.
Je, Tanzania inajenga makazi bora kwa nani?
"Hivi kweli mwananchi wa kipato cha chini hapo umewasaidiaje? NHC leteni miradi ya nyumba za kawaida za milioni 30 au 50. Mikopo ya nyumba iwe miaka 25 au 30," Vanessa Stafford aliandika kwenye ukurasa wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC).
Je, unaamka saa nane au tisa usiku na kushindwa kulala tena?
Watu wengi wanafikiri kuwa msongo wa mawazo ndio chanzo. Wengine wanahusisha hali na sababu mbaya za kiafya. Hata hivyo, kuamka nyakati hizo kunaweza kuwa ishara ya matatizo mbalimbali.
Kwa nini uume ni kipimo muhimu cha afya ya mwanaume
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa hivi punde, wanaume wenye tatizo la kushindwa kusimamisha uume walibainika kuwa na uwezekano mkubwa kwa asilimia 59 wa kupata ugonjwa wa mishipa ya moyo na uwezekano mkubwa kwa asilimia 34 wa kupata kiharusi.
Mataifa 10 yenye amani zaidi barani Afrika 2026
Huku sehemu za bara zikiendelea kukabiliana na ugaidi, uasi, na ukosefu wa utulivu wa kisiasa, nchi kadhaa zimedumisha viwango vya juu vya amani na usalama.
'Tulipoingia ndani ya bunge la Kenya tulifyatuliwa risasi'
''Vijana Afrika Mashariki hatutakubali kunyamazishwa na viongozi ambao hawana nia ya kuheshimu katiba na demokrasia, viongozi wa Afrika Mashariki wajue hilo'', Ezekiel ambaye ni mwanaharakati Kenya aiambia BBC.
Kwa nini ndege za Urusi zinadondosha mabomu katika himaya yake?
Watafiti wanasema kuwa matukio mengi ya mabomu kudondoka kwa bahati mbaya hutokea katika eneo la Belgorod nchini Urusi, linalopakana na eneo la Kharkiv nchini Ukraine ambalo lina viwanda vingi.
Majengo 10 marefu zaidi Afrika Mashariki 2026
Mandhari ya anga ya Afrika Mashariki inabadilika kwa kasi huku majengo marefu ya Nairobi, Dar es Salaam, na Kigali yakichukua nafasi ya juu, jambo linaloakisi ukuaji wa uchumi na azma ya maendeleo ya mijini katika eneo hili.
BBC News Swahili sasa ipo WhatsApp
Vipindi vya Redio
Listen Next, Dira Ya Dunia, 18:29, 13 Julai 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 13 Julai 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 13 Julai 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 10 Julai 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani
























































