Tanzania, Kenya zaongoza kwa madeni
Tanzania, Kenya zaongoza kwa madeni
Iliyochapishwa
Viwango vya juu vya madeni vinavyodaiwa na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) na wakopeshaji wengine wa nje vinaweza kusababisha hatari kubwa za kiuchumi za muda mrefu kwa nchi za Afrika.



